As you all know tuko holidays . So tuna enjoy tu za wazazi tukikamua ma age mates na mamboch . So leo kitu imenishangaza ni madem wanne wamenitumia text ati ohhh nisaidie thao ooh nisaidie mia tano kwani wats happening today kuna nini . Anyway hata kama mimi ni mtoi wa mdosi sina kakitu so nimeenda silent . Saidieni kijana na advice.