Subaru za DCI

Kwa nini hawa mabwenyenye wa ufisadi huendewa na Subaru za nguvu na si mariamu za aibu? Ama hata probox warushwe huko nyuma kama ngunia ya waru?

:D:D Lakini bado sio kitu kidogo hio. Una imagine Rotich ako wapi saa hii?

Labda analala na passport tayari. Kikiuamana afadhali kutoroka. Probably hatafungwa. But the shame…

Now he has lost a most lucrative job. No more bodyguards. No more cabinet meetings. Never read the budget again. It is a blow.

Akikumbuka zile foreign meetings. The hotels. The slay queens. The respect, pale airport.

Basically he is a jobless Kenyan just like @Wanaruona .

Jobless Kenyan with enough stash.

Usinitaje taje gasia hii. Mimi naeza kulisha pamoja na familia yako.

Please do not lose sight of the fact that the man is now a dollar millionaire thanks to his mismanagement of the Treasury.

2022 atakuwa Gafana wa Elgeyo Marakwet. Best believe that.

Inaweza kuwa fiti akaendewa na probox warushwe nyuma kama wamevaa hizo suti za 100,000 wasalimiane na yule muuzaji wa bhangi alishikwa 2 mins before

Story zao hazijaisha, tulia. Wangapi tumeona?

In 1994 ungeambia the young Jirongo, dollar millionaire and aspiring FP what the future holds si angekuchapa kofi na suitcase ya noti.

Hata Biwott alikuwa anaiba juu alikuwa aspiring FP. And last count he didn’t sound like a total man. I think his Jewish associates walitoweka na most of his loot as he was ailing.

Subaru Ni gari ya “aibu” kwa mtu amezoea German machine ,iko na heated seat , massage ,8 way recline chair and full perforated leather seat ,with hot and cool option, fridge box ya chilled drinks na air purifier ina spray Jasmine scent all over the car.

Niaje illuminati. Tumia Mimi blood money.

Waendewe na probox kama vile Hessy uendea gaza youth

we endelea kuwaona
[ATTACH=full]250570[/ATTACH]

Hehe … chocha tu

Naki yaa KRG

Mimi Niko loaded Hadi nimekopesha GoK tuelufu kadhaa. Inform of bonds.

subaru mambo yote. lakini zao ni non-turbo aka the gay type.

Rotich is jobless billionaire Kama Peter Kenneth alafu RWNBP anamtetea ati kamwana ampatie job kwa gava. This shows Vile the political elite play with the political powers alafu watu wako riwe riwaro na Ni peasants kuruka

Hehe it is still a very MAJOR blow. MAJOR blow.

Ile kitu hamwuelewi na @Mzeiya Flany ni kana kwamba being a minister is still a most premier career position, just below Rais.

For starters tuanze na Waiguru mtu alikuwa anacheza na billion dollar projects. Today she begs for money from national govt. Kuona President ni once in a while not every week in state house like before.

Siku hizi hata gazeti haimkumbuki. Na vile kanapenda attention.

Today she has to deal with villagers and rowdy MCAs not dignataries. Hata akaiba, ni ya county pekee… na sio mingi vile.

Angalia mtu kama Rotich sasa.

You send him to Marakwet to deal with akina Sudi and villagers and funny funny MCAs and cattle rustlers… :D:D

It is a blow.

He will be begging for money from national govt. and yet HE WAS THE ONE IN CHARGE OF ALL THE COUNTRY’S MONEY!!!

Even Uhuru couldn’t make a move without first consulting Rotich… halafu sasa utupwe Marakwet uka deal na akina Murkomen na Sudi na @spear na farmer mjinga kama @Budspencer … !!!

Halafu budget ya Marakwet ni pesa ngapi kwanza??!

Na ni MCA wana dictate vile utaspend…

No more phonecalls to state house or following Uhuru EVERYWHERE he goes.

No more chats with akina Amina Mohamed and Kiujuri… and Barara…

ISSA BLOW!!

Halafu mnafinyana hio kiti ya nyuma na CID wawili na vile wanakuwaga wanono. Na ujue hio Subaru sidhani huwa inaona maji na sabuni.

Na ujue CID sio babako. They are very crass even in language. Na ujue CS ni mtu amezoea gentlemen, hajazoea kuitwa “meffi mahubusu!”

L

Hahaha…leo umeniomit kwa list