Basin ni ile ile…
Mubarikiwe.
[ATTACH=full]188032[/ATTACH]
Umeharibu Sunday, I hope she will still get you.
Naona tumbler imezoea kazi imepata oiro kidogo
lakini usifanye hivi[ATTACH=full]188037[/ATTACH]
Hiyo tumbler ukiweka Kenya Cane inageuka Johnny Walker.
Aki.
Padre, nduthi momo inasquirt hapa.
[ATTACH=full]188039[/ATTACH]
Jatelo niangushie ki blunt. Niko mbaya saidi…
Ngai besheni again? the sky blue one:D
Mogaka umechelewa.
Leo supplier nimempitia hapo State House Road saa mbili asubui.
Ongezae Motor Honey
Kuna msee anaongea kiwahili contaminated na kikisii hapa Capital Fm News za 4 ati
SISI ATUTAKI MADAGWA SA KUREFYA KUTOKA ISIPANIA SIPITE APA KWUETU…Nyenyenyenye…!
Hata Skutaka kujua ni nani
Wtf. Some wazees need to retire already.
Bora kieleweke.
Kijana Bado anasoma muziki?
:D:D
Huyo ni fundi wa aircorn…
Jakipash nitafutie skooter 150 cc.
Top speed 150 km/h
Budget less than 120k
Hakuna kueleweka kitaelewaka kama mtu anaongea shonde kuhusu umbidho…
:D:D:D:D, pia naona Siku hizi unakunywa shell helix like literary from the adverts
Mzee ni wewe
I hear it was Matiang! Hahahaha since lini Bangi ikakua madawa ya kulevya? SMH