wadau wenye hawapendi kuivisha chakula vizuri,
mayai sio lazma iive, maziwa sio lazma ichemke, tomato sio lazma iive, samaki sio lazma iive . hadi kuku sio lazma.. ugali sio lazma, Those that have no harm.
lakini ngano products na red meat mahn, kina n'gombe? na salt nyingi? smh . patia tu time yake, hata kama ni hio 20 minutes chemsha kwanza.
Cancer and gaut originates at the point below 15 minutes cooking red meat ..