Supu ya pweza

Where in mombasa can I get supu ya pweza?

in mombasa

hapo kwa bitch

Tembelea Tanga, Tz maeneo ya mkwakwani hapo hutaikosa.

:D:D:D Na huyo bitch tapata wapi? Yuaitwa Nani? Aisee

Nenda hapo ferry on the likoni side, kuna fisher men wanauza fresh pweza jinunulie kajichemshie.
thank me later

Una upungufu na nguvu za kike? mpaka wataka kukula supu ya pweza?

Tembelea Tanga TZ maeneo ya Mkwakwani, hapo hutaikosa.

uko ,dunga unuse

Visit Kilifi Village Dishes Kilifi town

Nenda Mombasa au dar bongo Tz
Unakunywa mpaka unaacha hapo

dongo kundu.

Supu ya Pweza hio …

[ATTACH=full]177969[/ATTACH]

Kwani hiyo pweza imepikwa na mtu wa central naona iko na minji?

Principal tumekuona

ndio hiii

Tembea hiyo route ya makadara ground majioni kuna msee hapo anauza pweza.
Ama kama wataka nikupeleke kikambala ukakule pweza at your own convenience

Just go to the ocean catch an octopus and cook it

Pun intended?

Miritini…

What does it taste like? Kama ulimi ya ng’ombe?