Swollen lip

So Jana nmeeenda rave nikakunywa over 3.5 karibu niingie mtungini ja paka wa Mombasa. Leo naamka na swollen lip and a shaking tooth, kwani jana kuliendaje? Is there any medicine for a swollen lip? Angalau iache kufura.

1 Like

kulienda hivi…ulikuwa jogoo usiku wa jana

https://www.youtube.com/watch?v=4K57oZQw8ME

hakuna dawa. ngonga hiyo ingine zitoshane for aesthetics

14 Likes

Achana na dawa ya swollen lips, kwanza tafuta dawa ya kuacha pombe.

6 Likes

You should be icing it right now & apply robb ointment

1 Like

Kimbia hospitali na uwache kusumbua na vile umeambiwa tafuta dawa ya kuwacha pombe,utaumia baadaye kama sisi.

1 Like

Inaonekana umepitia mambo …uko sure hauhitaji hii pia
[ATTACH=full]67262[/ATTACH]

2 Likes

hehehehe acha tu nicheke, ulikua unakunywa nini kaka, usinywe kupindukia, barafu itakusaidia kiasi, pia hakikisha umekula vizuri kabla ya pombe, usijali lakini hata si hupatikana hapo maidhaa

some solution! peasant atatoa wapi ice?

11 Likes

Hehehehe :D:D:D. The madness in this village.

3 Likes

Sema ukweli…uko sure si butt lip imefura:D:D:D:D:D

1 Like

Nani aliuma wewe ?

SCHUPDDDDDDDDD

yaonekana alinyemelewa na akina @IamsoGothIShitButts

3 Likes

U must have forced yourself into some guys chik and he gave u a miketyson knockout…hivyo ndivyo kulienda

1 Like

kuja unigonge, saitan!

I can’t afford to, what abt the barley farmer, the processor, beer taster, bar owner, bartender…watatoa unga wapi?

peasant ni wewe, Kama nanywa kwani naeza kosa ice kweli? si afadhali ata nikimbie hapa Norway niokote juu wako winter!

4 Likes

Ukinichokoza wakati mwingine na kung’oa meno na kende moja kama ile NGOMBE @mchipy MEFFI

kumbe nilishika tako la bibi yako? pole