Tahadhari kabla ya hatari

[ATTACH]175754[/ATTACH]

Uoga kama huu ndiyo unaowafanya watawala wawaonee na kuwakandamiza. Get rid of these rotten minds then u will be free. Yaani in short watiz hatujiwezi coz of woga na kuwatisha wengine.
Be positive minded

Hata mimi nimeliona hilo tuwe makini mno

Duuh

Mdomo wangu umebaki wazi aiseee. Lol

Jf wanatapa tapa tu wanaogopa kupoteza wateja wao ndio wanatupiga pin kwa vitisho, acha tuitafute furaha popote ilipo mpaka pale watakapoamua kurudi

Usiogope hii ni vita ya kutugombania

hahahahaaaa

Mpaka sasa bado unashangaa?

Hahaaa. Mshangao ushaisha Sesten

Hahahahaaaaa, hapo sawa

Tutaendelea kupopoa tu hiyo govt ya 255