Tanzania starts operation to charge borehole owners illegal water

SERIKALI KUANZA MSAKO KWA WAMILIKI WA VISIMA VYA MAJI

  • Ni kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria Wamiliki wa visima visivyolipiwa ada ya matumizi ya maji

  • Yasisitiza, Sheria inasema hata kama umechimba mwenyewe, lazima ulipe ada hiyo

[ATTACH=full]210060[/ATTACH]

:smiley:

ada ya kisima kama hicho kwa picha ni ngapi?

In Kenya you pay WARMA …they just don’t enforce it for something lesser than a borehole

its happening here too, last month i got visitors from Kenya Water Resources Management Authority (WRMA)
for the bore hole in my own compound i have to pay 1k per yr coz i use man power to draw the water.
anyone using a pump has to pay 5k per annum.

wameanza

Hata Kenya we are supposed to be regulated on this one.

But Tanzania, seriously!
Ndikwaria mūno thingo cia TZ nī cirī matū!
[ATTACH=full]210084[/ATTACH]

Niko hapa kwao Arusha na kabaridi ka asubuhi.
Lakini nakwambia haki ya Mungu gūkū ti gūkene!

[ATTACH=full]210090[/ATTACH]

Sheet hole country ata maji kwa Bibilia imesemwa don’t poison the water points huyu makufuli is a disaster

Do they have a warrant to visit homes? Wakuje kwangu bila waone. Sheparts zitakula fresh pork

wanatemnea na mzee wa mtaa,
they ask how many liters you use per day, we had a long argument with them kiwashow hawakunichimbia kisima nao wakasema maji ambayo iko 7 foot and below ni yao.
for payment they gave me a paybill number for a KCB branch in machakos

Uhuru alisema maji ni ya Mungu :D:D

thats why sijalipa

Boss utarudi home siku moja upate walingoa shimo na wakaenda nayo

hehehehehe
ati atia.