TBT: kapuka vs genge

These were the two most dominant genres of kenyan music back then. Which was the best?
Mimi ni genge akina Jua kali pale

hakuna rules kwa hii game hata kwa kichaka
nakutana na wee supermarket hapo hapo nataka
bora wee ni manzi mpoa, usiwe kiraka
na una kifua ndogo
na nyi wa mahaga
usijali hizi line niliandika nikiwa mashada
sheets zangu ata jo ukizichafua
hizo jeans na ngotha jo hutachafua
ntakuwa nazipeleka wapi White Maua
White Rose
White Maua

vile ntafanya (nikikupata)
vile ntafanya (nikikuwacha)
vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)

MIss Kenya, Kuta vitu
Mama mboga kuta vitu
Manzi ya beste yako kuta kuta kuta vitu
Mboch wenyu, kuta vitu, bora ameivaa, ni working Class

Cc @mayekeke

Nonini alikuwaga na ujinga sana zama zile.

well,naeza sema both had a fair share of fans…kapuka ilikuwa ya mababii sanasana though…genge ilivuma sana eastlands and kidogo south of nairobi…
i listened to both and my fav in kapuka were e-sir,nameless/wahu combi,historians,klepto,krupt na pia in genge i loved lady s,rat-at-at,juakali,ksouth,pilipili…nnonini
i dont know where to place cannibal/sharama and ukoo flani lakini i doubt ni kapuka

In his own words ‘ilikua tu kutafuta uganga’
Na aliipata if his size is anything to go by.

https://www.youtube.com/watch?v=e93MApHFRQY