So jana nimeongea na manager wa pale Sopa lodge hii serpent iendelee kumeza on my bill niliambia nyoka i travel jana nika book room , room already paid for by the company since ni yangu , ok basically for the people hawajawai enda team building , there usually is committee of several bigwigs . so what happens 7 people are put in a komitee 5 executive members and 2 useless powerless mafala wakuonyesha wananchi wamewakilishwa . the five normally divide the duties like accommodation , transport , drinks , food , snacks and miscellaneous stuff . usually senior bigwig anapewa budget ya accommodation na mwingine transport mimi kama semibigwig always lazima nipewe drinks (alcohol and soft) na wananchi hunipenda since sina ukikuyu .
usually wazito hutuma manyoka zao in advance na mwenye budget always books the rooms for the extra ‘workers’ . btw jamaa wa accommodation makes alot of money coz watu wakiona pombe ya bure hukunywa mpaka asubuhi so known walevi hupewa kakitu in advance waambiwe wacheze chini without rooms which is better coz ukilewa mpaka asubuhi unalala nini ? so kama room ni 15k unaongea na mwananchi anakubali 5k na Uwes atawapea pombe mpkaka asubuhi morning kuna rooms mbili au tatu zenye wata oga na kulala kiasi though wasee hu prefer kuoga na kundelea kukunywa , around 50 percent go for this deal but wale wa maringo , wa kanisa na madem huwa wanakataa . so budget ya ulevi huwa juu kiasi to affect decision making ya members .
hii ndio serpent nimetuma , leo lazima nikule hii samo its not a negotiation and this is the land of the free no negotiating with terrorists . atleast after Arsenali tumeuwa Manchieth ntawapaa mbicha . mtu atakuwa Naivasha tupatane kwa bar , mimi ndio nashikilia budget ya pombe hakuna kunywa tusker Jameson pekee leo ndio ile siku wananchi wanatii .