TELKOM WAMEKUWA WEZI.

I just topped up with sh. 100 worth of credit on a Telkom line and they deducted sh. 16 for no good reason. This is the second time it is happening.

Wameanza wizi ile ilikua na Safaricom. Ndio ubaya was Kenya, as soon as you start to trust a service, they screw you immediately.

Sijui mtanisaidiaje lakini nataka mjue ndio mjichunge na Telkom.

weka evidence kwanza

evidence ama hii ni libel tuuu

Hio ni riba ya kupatia customer care
Apana letea sisi kosokoso zako

You have a small p3nis

Umetumwa Na Safaricom?

Kuna time Airtel walikuwa wanapita na 1 bob every time you top up, time flani nimenunua 1k ndio ni buy bundles nifanye kazi usiku, 11pm nime top up hivi balance imerudi 999, was forced to buy a bundle ambayo haingenitosha, hiyo jioni I was pissed

That’s because you have a small penis

Hapa ndio customer care ya telcom brare fooo

saaasa kama ungekua umeweka ya elfu mbili hivi ya ma mbirriionea? tungelala kweli leo with this raving and ranting ya 16bob? Kesho weka ya 200 alafu kuja useme vile kulienda

Hii kitu nimeona kwa Telkom too many times. I usually buy 12gb xl data weekly. I top up 1k and go to their site to buy the data only to find my credit is 968 or thereabouts.

I usually buy when I have 50mb left so isitumie airtime for data but that still happens.

The last time I bought niliweka 1k ikakataa saying insufficient airtime. Nikaongeza ya 20 still ikakataa. Nikacall customer care akaniambia my balance is now 1004. He then proceeded to buy the xl data from his end and it worked.

Something weird going on. Waache kupatia watu magari and concentrate on fixing their systems.

Next time I top up I will take screenshots in case it happens.

“…nye nye nye nye and win a brand new toyota belta” telkom brare chieth maduong :meffi::meffi::meffi:

Mimi wasinipe gari.Talia tu anipe shoti moja

Happened to me this week. I called them. They rectified the balance. Their billing systems are crap.

Watakupa Toyota belta

Not that I know so much or that I work for any of the accused telcos, but from experience I know that you better completely switch off data connection before you top up your line with the intention of buying data bundles. If on and you don’t have an active data bundle, data connection is likely to mess your credit balance seriously.

The concern as raised by the OP could be something else, altogether.

Kwanza that free internet from 6- 8am daily if you subscribe is hoax.

Sometimes they steal… I used to subscribe to 1 gb daily but they could exhaust it within a minute… Wakaniimbia siku Tatu and I stopped subscribing. I went back after a month na wameacha iyo wizi… Try later wataacha

ata ingekua kotini your petition ingebackfire from the gate. Akuna evidence apo.