Nasikia waasi Rwanda wako km 30 kutoka Kigali. Mwenye taarifa kamili atujuze. Nimesoma kwenye group ya UDF
Hizi tetesi Naomba ziwe kweli aisee
Ni lazima wapate support ya wananchi, maana watu wamechoka kufa na tai shingoni.
Siyo habari nzuri kwa jiwe.
Kama ni kweli, ni habari njema kwa dikteka kimbaombao!!!
Mungu ibariki habari hii iwe kweli
Ukimkamata DIctator kimbaombao huyu pogba hapa hapumui tena. Habari iwe kweli!!
Wakimtoe huyo dikteta nitakuwa na furaha sana
Tuombe Mungu iwe hivyo
Jamaa anatokwa povu zito sana mamaye. Wakimkamata huyu itakuwa bomba sana.
kagame hachomoki round hii
Eh Mwenyezi Mungu wasaidie wampasue huyu fidodido
Abakwe tuu mshenzi yule. Mamaeeee
Mamaeee zake
Jiwe akijidai kutoa hifadhi kwa huyo ngongoti waje watuchape na huku kwetu!
mbona msiombee huyo magufool wenu vibaya mwachane na mzito kagame?
Mkuu huyu sio wakamate tu, wakamate wamalize kabisa kama vile Samuel Doe.
Halafu mbona habari za jamaa ziko limited sana?.hako ka pk siku wakikafurusha jiwe atajitafakari
Shost anapigika