[ATTACH=full]342186[/ATTACH]
Hiyo picha ya mwisho hiyo nyang’au imevaa kofia ya green ni ghost ama? I can’t see him clearly, hata ajakalia nduthi
Acha upuss, concentrate on one Alpha.
MGTOW, marejeo ni ngamani.
:D:D:D
Somebody joked pale twitter that mzae alienda kutafuta Airtel Money agent
Alphas chase the bitches out… not running away from a problem
Mzee ako kwa boda mnaconclude amewacha marriage. Fake stories
hio redio yake ya sonitech imenirudisha mbali saidi, very effective machine
:D:D:D:D:D…beta male chieth inasumbuliwa na khupipi
Patel bado ujamwacha after 49 years kwa gate ?
Natumeko salamu kitale. Nakoteako anko,andi,kassin,semeji na kijiji Kwa chumla. Ujumbe ni kwamba ukali ni mahindi imesiako.
Aii si Ka Philip…nyakati radio zilikuwa zinaitwa tenje:D:D
Kwanza hizo tiny portable walkman radios.
Kasia running away form his annoying ugly termagant bitch badala ya ku kick her out ain’t alpha at all.
Wewe ni wa juzi inaonekana…tenje? Hii sheng si ya mbali. They were just called radio/redio ask big bros ama cuzo if they had radio lessons…uwaonyeshe hio mtambo kama wataikumbuka
Hapo 1995…when kiatu ilikuwa inaitwa ndula:D:D
Yaani nyanga’u ilirudi tu na karedio ya mawe mbili?! Hata kuna Mzee mwingine wa Othaya akirudi after running away from his home for 13 years
…he took it literally…kuingia karura…:D:D