[ATTACH=full]64699[/ATTACH]
[SIZE=7]U[/SIZE]
Mzee I am sure your heart skipped a beat ukidhani ni another case of corruption tena :D:D:D
hapana, tuheshimu wazee, kwanza huyu ametoka hosi juzi tu…
:D:D:D:D:D
Sawa kubwa. Jioni vipi lakini? Pengine ushajimwayamwaya uko pale kibandani kwa mama pima unajiburudisha na kopo lako la uji wa mtama?!
Hihihihi…
jioni poa rafiki. najituliza na jazz kidogo baada ya siku ngumu nikijumuika na wanakijiji kujadili yaliyomo nikiongoja masaa ya kulala…
hii ujinga umetoa wapi shemeji?
MUNGIKI MZEE LALA UWACHE KUTUSUMBUA
uliza mama cliche akwambie “Ruri itara ruthekaga rwi riko” ni kusema nini…
Shemeji enda u make sure ubwa simekula dio ukuje hapa kubweka bweka…
Hapo sawa.
Wakanyama ana brain ya Morabou
engui alichezea wale wakali,he will never know peace
meffi kuja tupigane mzee mjinga
one day utatambua who is Don wakanyama