The UTTER!!!!! Disrespect

Being in Corporate kenya as a man you are 9 time:oops:s as likely to be fired than a lady for obvious reasons of, women are the bosses today wamesoma sana na wanajua kujitetea pia, and some other surviaval skills man has refused to learn. This hekaya is about an elaborate scheme for survival at work.:saitan::saitan:

Mimi sinaga shida:D na mtu lakini kuna jamaa manager of department mwenye hukuwa na ruthless leadership. If he was Kagame, genoside 3 would be underway:eek:. Huyu jamaa is a stounch PARANOID o_OKalenjin wale walifanya a university course Eons ago and Knows very little about the department details, lakini is a master of psychological tourture, divide and conqurer among other tools for worker domination and total control.:confused:

Mimi na yeye hata we never talk unless pale annual meeting huwa anaambia watu individually waongee:p. The ritual imekuwa salama sana for 3 yrs. akitaka kazi nifanye He tells one of the other female employees who he has decided to make my ceremonial boss that yr what he needs done, ujumbe inanifikia natekeleza kazi:). In that section ni mimi some other old mofo na yeye among like 9 women. Sasa ata mimi sidai kumuongelesha.

Mambo iligeuka hii mwaka ambako alianza kunimulika kama ile helocopter hutrack wezi usiku :cool::cool:wakikimbia na taa kubwa. Alianza na kuninyanganya my tools of work, alafu akatumana kuskia vile nitasema, I said nothing but I made the mistake of calling my Guy while at the office kumwambia vile nalishwa skuma kazini:p:p. KUMBE this paranoid MATHAFAKA ako na recording device:mad:, hapo ndio aliskia I just want my tools back, … He instructed the minions wakuje waniambie they have been put up for AUCTION, weeh iliniuma but nikatulia.

Weeh hapo ndio nikajua ninja anaskia kila kitu:eek: coz parts of what I heard wakisema were in that private call. Mimi nikatulia lakini mofo was still aching for blood:saitan:. Kidogo kidogo minions wakatumwa tena wakisema that a few months prior I was late at work one evening what I was doing needs to be known. I said exam ndio nilikuwa nafanya, . (He set to use this as the key complain in a bid to point them to me as the person who had vandalized some property some time in the past all lies - It was a disgrantled watchie but was never cought)… Lemme say he launched an assult against the nigga. He went and told several other managers of how bad I am:oops: and I MUST GO . He sited false reasons above and included I don’t even do work yet he took away my tool of work and kwa sababu watu huongea ikanifikia , nikajua tu ni kuitwa displinery.:frowning:

Sasa unajua the week he had planned to call me and other wakubwa for my displinery ndio they had a heated debate pale all staff whatsapp group and alitusi Director kwa sababu yeye ni hot head :D:D:D:D The disrespect. I almost slept with shoes juu ya furaha. All his plans hapo ndio zilikunywa maji since director alipambana na yeye na ndiye chairman to all Displinery cases.

Wadau Kesi Ilifika hapo, the problem is the other 9 women dont respect me at all at work since that incidence, you can feel the disrespect at work, even when I out skill them, when I do work well or move around. They are a club that feels I shamed their ALPHA somehow lakini mimi bora salo iingie. They have been an equal number of men kwa depatment lakini the paranoid toxic mofo keeps on selecting one time and time again to chase away for shear fun till there is non left.

first io sio corporate ni bonobo organisation you work for.
Alafu how can nine women gang up against you?
are you gay since women don’t like each very much especially where they are competing.

Wakale hawajatosheka kuangusha parastatals sasa wameamua walete umeffi kwa makazi. Naelewa you cannot quit but me as a Gen Z I have no patience nakupea a piece of my mind and let the rest fall into place. Hao wanawake nao wachana na hao, real niggas dont fight pussies, watachoka tu. Ama you fight them with your dick, kwani iko nini, mtoto akililia wembe apewe shoka With that being said, I cannot relate. Gen Z we detest 9 to 5.

Yeah yeah! We get your point and sympathize with you but whats with those emojis?

We will take away your emojis like your tools. And what tools are you talking about anyway?

Wueh

Kumbe ndo maana unamaliswa kazi. Concentrate kwa job.

Kama boss ni mbaya, hama

Keep on keeping on, and put on spell check on your device.

You are a grammar nazi like me lol. Reading these hekayas give me migraines to be honest. The swanglish especially.

Hehe … kwanza hapo kwa genoside. A true njaruo

:D:D:D:D

Your workmates are not your friends, treat as your enemies. Say hi and shut the fuck up. Do what you are paid to do and go home.

Those women hate you because you have open up. Always be unpredictable.

You are in a war and to win that war don’t use logic, gather data and use deception, and serve your revenge coldly.

Hizi ni typical drama za workplaces.

Mazee katika hii kazi ni kujua kukuwa a political animal, kupambana na hali to see what happens.

Asante wadau

Helocopter, disgrantled, cought, tourture, displinery.

sasa maoni hayo ya kimombo nimeyaskia

All in jest i know.

Kula fangi ingia wira maliza wira rudi nyumbani akuna dada yako hapo nani plus ukitoka hio job you will notice how insignificant they are in your life journey.fanya vile placebo amesema kila mtu laini yake

Not that elaborate, please work on your spelling

They took away your dictionary ?