These MPs

British parliament votes overwhelmingly for a delay in Brexit. They want a 3 month extension to be approved by the EU (DW). Previously, the same MPs have rejected all deals offered by the EU. Today was meant to be the final day for Brexit ammendments before the 29th March deadline. However, the MPs have been unable to come to an agreement.
Brexit is good for Kenyan exporters who have been exploited by EU brokers in Belgium and Netherlands.

France said it will veto any extension unless Britain draws up actionable plans on what to do with the extension. So hii vote ya leo no mshuto wa punda if E.U does not approve

I will tell u for free this is a war btwn Germany and UK. Na Mjeremuni aweze kubali kushindwa

Ndio nimejaribu kuambia watu wa UK hii maneno hawaamini. Wao hufikiria UK ikitoka EU ati immigrants watafukuzwa. Lakini vile umesema Germany kupitia Belgium inajaribu kucontrol Europe na nchi zingine.

UK wanataka kutoka EU bcoz of poor european countries like Romania employees bn allowed to work there. These people from Romania ufanya kazi ua huzuni kama cleaning, dish washing etc. Many britons kwanza machokosh wanasema these poor EU nationalities wanawaibia works but most of them (Britons) cannot do these jobs. Romania ni wasoto and hard working.

In Germany, most watu wa mjengo utoka these poor EU nations like Romania, Poland etc.

Belgium is another fucked up country, I have bn there and i know

:D:D ati Brits machokosh hao ndio huishi kwa welfare? Yenyewe watu wa Eastern Europe ni peasants akina Ukraine, Bulgaria na Poland.

Lakini inakaa Europe, UK wherever ni watu mashida shida hivi. :D:D:D

Karibuni land of milk & honey, alternately, Vumbistan mahali hakuna matata. :D:D:D

Kitu me huheshimia walami in ile unaweza cheki story ka hi ikimanisha Teresa ame step down…unlike wazito wa hio continent hapo chini but isokey tutafika tu hio level one day

Kuna mboys mSouthSud najua ako pale Calais amejaribu kupenya Uk wapiii, alikua anadai atajaribu ubelgiji, nini mbaya huko?

I got peeps in Britain na wanna regret voting leaving EU. They thought watatishia leaving watabembelezwa lakini wapi waliambiwa watembeze kiatu. Kwanza naomba wapewe hard border ndo washienzi watie akili

Not in our generations

@Panyaste Tiny elder si unishikanishe job huko hata kama ni ya kuchanua chihuahua manyoya.

If those friends are immigrants then they must be thicker than 2 plonks of wood. We have loads of those critters who think they are more British than the Brits themselves mainly Asians. Always giving expert advice on telly and the radio…say after a shaitani attack starting off with’ we cannot let them into our Country etc…’ the media loves them…while the rest of us cringe for them as they bitch their fellow immigrants. Not all Muslims are shaitanis.

Easy maaam easy my friends voted to stay they are immigrants in their 30s and citizens the old folk voted to leave my joke of on those old folk !

Tokeni EU mara moja, mutafaidika. Siamini itaadhiri immigrants. UK loses a lot to Germany and Belgium, the former British empire has been reduced to just another EU dependent country.

Ukitaka enda Europe tafuta Schengen visa jua ile nchi unataka kuenda sanasana jaribu Netherlands. Tafuta ama huko kuna conference alafu ulizia invitation utapata.

How, UK isn’t our biggest agricultural importer, Germany and the Netherlands are.

Lakini Mimi huko ni job nasaka. Ama nitafute kanyanya kazee kanidomesticate.

I have said it here before, Dangote has been preaching it to Nigerians too. Nigerians buy flowers from Amsterdam which originated from Kenya. Germans and Dutch are simply brokers. How does Germany export more green coffee(unroasted) than East Africa yet they have no plantations?

Si ndio hio. Ukienda conference utapata Schengen visa. Ukipata hio visa unatafuta kazi nayo.