Lakini shetani ni mbaya sana. Saa alikua anajaribu Yesu ati abadilishe mawe ikuwe mkate? Tungekua tunajenga manyumba na nini surely? imagine unashindwa kulipa rent, Landlord anakuja na chai anakula nyumba yake unalala nje
Huko kwetu tunajenga na bricks…yaani matofali
F*ck. Opioids ziko nyumbani?
hii ni joke ama ?
NOOOOOOT FUNNNY
zako zimeshika mbaya ,enda tu home ulale
I laughed because of the absurdity
tuliona kenyatta senior akiwa wapi watu nguyaz?
akiwa capenter
It’s funny… I’ve laughed