It’s gonna be lit.
[ATTACH=full]16836[/ATTACH]
It’s gonna be lit.
[ATTACH=full]16836[/ATTACH]
[ATTACH=full]16846[/ATTACH]
Arsenal fans wenzangu tuko pamoja? ndio Olympiacos walitukamua lakini Sunday tunapea mtu 2 hot slaps na sweep COYG
Arsenal haitachapa man united hii wikendi unless ndotoni then ni possible
sunday kutoka saa nane itakua football heaven
[ATTACH=full]16850[/ATTACH]
[ATTACH=full]16851[/ATTACH]
mush mush better
In other words pombe
noma sana too good to be true
Woooooiiii arsenal mtalilia chooni mkichapwa na manchester…wacha sasa kuficha sura after hiyo hamtatoka dressing room
when the football stars align…you gotta watch just like an eclipse
it is safe to say wata-Groania kwa pitch
Exactere wata riria uwajani
Lewandoksi vs his old club Dortmond where Pierre-Emerick Emiliano François Aubameyang ,this week became the first footballer to score in seven consecutive matches from the start of a German Bundesliga season.
he cant repeat his 5-9 miracle. he will be watched like a fugitive
The only sure game apo ni ya PSG izo zingine naona ni 50-50
Shoti_mzito ata fight na nini wakichapwa?
True its a cumming Sunday…wengine wetu job itakuwa slow sababu ya the cumming Sunday
Bayern v Dortmund. Noma sana. Lewandoski v Aubameyang
Game ni Atletico-Real. Atletico walichpawa jana na Real hawakushinda the previous weekend. Both teams zitakuwa na njaa ya kushinda plus ujue hii ni derby so heshima kwa mtaa ni muhimu. Finally vile messi ako injured wanajua wako na chance ya kuchukua ligi.
Shida ya hizo games kubwa za Spain zinakuanga na a lot of play acting.
Nitakuwa mtaa yangu, huku hakunanga wachokozi- watu ni wangwana…