tm wa klist na gashwin

[ATTACH=full]11817[/ATTACH]
ION Mombasa residents waliamka na kuenda beach for a much needed bath, its been one week two days without water, @Jazzman ako Nyali beach, @Da Vinci ako Bamburi beach, @bjurmann ako pirates na @Supu don ameonekana Shanzu beach. @mabenda4 has hijacked the only water bowser in the county and he is making a killing. Watch the 1pm news

4 Likes

Hehehe! Lakini usiseme kwa sauti, bwana! Niko ndani ya bukta pekee na hiyo kwetu ni kuwa tuputupu! Kitambi nayo!

3 Likes

Halafu akatoa wa…?
Akatoa wallet
Akanipa elfu ta…?
Elfu tatu
Apana alinipa elfu tano.
How the hell was I supposed to figure out it was tano and not tatu???

4 Likes

eeeh, that one

Hehehe. Like for real we almost went swimming. Saa hii Ndio tap zimeanza kungorota na kudrip. Almost closed shop

2 Likes

…mimi na Boss wangu tukaingia kwa Ba…?
Kwa Bafu
Hapana, kwa Bank

4 Likes

Kj head on corrishon

1 Like

Kwa Bar

3 Likes

The ‘clever’ ones like me always find reason to be away from Mombasani show ikifika. :smiley:

1 Like

hii story ya maji haileti shangwe…mimi nilihamia karibu na kanamai beach…:slight_smile:

2 Likes

Finally we get water, sasa guys are filling all availiabe containers, ata vijiko

Buloti ni ngapi huko

1 Like

hehe. Mugikuyu na tuburoti.:D:D

1 Like

Aki watu wa pwani mrudishiwe maji. Nimeamshwa nitume thao ta…tano ya kununua Dutch Water.

mtu nguyas, Thao Ta
Tano
Ya Dutch Wa
Water
Ninyingi Sa
Sana
kwani ananunua indian o
Ocean

1 Like

Kwani ananunua Indiana O
Ocean
Hapana,si ya ku
Kununua
Ni ya Likoni fe
Likoni Ferry

1 Like

Thao tano ya kununua Fe
Ferry
Mimi Naona kama umetupa Mba
Mbao
Nenda kanunue power Ba

Hehe si watu hapa wako na upusi