Huyu jamaa ananikalia Tommy Lee Sparta
@Tommy Lee Sparta kuna mtu anakuita hapa.
kwa nini?
Timothy hafanani hivi trust me.
[MEDIA=facebook]1474957032518941[/MEDIA]
haha timothy ndio tommy lee
Iko siku alijianika kwa Facebook:eek::D:D:D
Tommy Lee siku hizi amekuwa professional punter hata Malaya aliwacha
sparta ako pale predictions Kings 24/7
chips funga dat your name tonight
she is fisilet…a fisilet
sparta bado ako yard…busy kiasi na hustle lakini niko
gambling kiasi…ngwati niliwacha:D
pamba wewe sasa vile tulisoma na wewe high school utakuwa unanitaja kila saa,kaka kwani niko na deni yako :eek:
Sawa omwami lakini hatu kusoma shule moja,kuna Facebook page tuna share:p:cool: