Traffic Ngong Road

Amini usiamini nilitoka town 7.30, bado hatujapita dagoretti corner. Walai kufanya job Nairobi ni ufala

nani alikuambia u rent keja huko??sisi watu wa thika road ni maximum mins tuko keja

Kwani uko na kabambe?

Nunua bike. Black Templar ashafika kitambo.

2 Likes

Nilitoka Rongai 5 nikafika tao 6 lakini mvua Ilifanya nitoke tao 10. Sema kukaa kwa baridi for almost 4hrs. Got home when niko drenched kabisa expect viatu

I agree! Superhighway all the way!

Its lik takin’ a flight

four things:-
i.Picha
ii.Video
iii.Sketchi ama
iv.Witnesi

Except viatu. Karibu.

ATI SUPER HIGHWAY…tembea naivasha…natoka kwa hao 6.57…by 7am nisha check in

hizo nyama za punda hazikupeleki poa

2 Likes

Zii usihamie thika road…these guys are lying to you…huku kumejaa hatutaki watu wengine…kaa huko

that road is cursed … wanafaa kufanya kitu hapo sector ya junkie