Truck driver

Wadau sioni nikitoka Mombasa. Nimepata @Meria Mata classified lokeshen tukaamua wacha katambe tu
Tukitoka hapa sioni kama hii truck itaenda
[ATTACH=full]125148[/ATTACH]

23 Likes

Mboko na mlija.

6 Likes

hapo sawa birrionaire

1 Like

Tulia tu kiasi, najua ile uvundo itatoka ukibonga ama yawn ni kali kuliko ile ya @Meria Mata na ile kibuyu yake 5lt kwa basi

7 Likes

Munadzi ni mudzo! :D:D:D

2 Likes

Wine. Anyone?

3 Likes

Makes me hate mnazi…

1 Like

@Meria Mata tafutia birrionaire mdigo

4 Likes

:D:D:D

Iyo ndo mkoma ama mnazi, can’t tell the difference

1 Like

Nimempa mama wa kichonyi.
Ekuviorio kuviorio

5 Likes

Meanwhile…

[MEDIA=twitter]906883759441682435[/MEDIA]

3 Likes

Shambani sasa kutafuta fresh air

1 Like

Nimelewa picha imekataa…hehe

3 Likes

Kwisha wewe!

1 Like

Wachonyi ni warogi. Akiviorio kuviorio namna ile wao husema yeye hatoki Mombasa chini ya mnazi…ole wako nani

3 Likes

Mrija

Huku maisha yako yote mwambao ila akili mawe kama vile jiwe

1 Like

Despite previous efforts to intervene…

1 Like

@Meria Mata si you get side tracked alot, kila elder akiingia Mombasa Meria lazima ameze kitu

6 Likes

A man of the people

7 Likes