Truckers World

Nafasi za kazi ya Udereva wa Malori kutoka kampuni ya Motrex Limited kutoka Mombasa

Tunawatangazia nafasi za kazi za madereva wa malori, kwa masharti yafwatayo:

  1. Mwenye Umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea

  2. Mwenye driving licence aina ya atik…

  3. Mwenye ujuzi wa zaidi ya miaka 3

  4. Awe mkenya mwenye kitambulisho cha kitaifa.

  5. Vyeti halali vya ujuzi.

Twapatikana Mikindani katika barabara kuu ya Mombasa na Nairobi.

Piga simu nambari: 0726631272 au 0726666271
VERIFIED

4 Likes

Moto wa kuotea mbali.

Utapiga free hadi kwa mlima ndio angalau diesel ikufikishe.

2 Likes

Hazina matiti !

1 Like

Hehe

1 Like
  1. Mwenye driving licence aina ya atik.

Ngani hiyo.

https://media.giphy.com/media/3oEjHCQXqfYKI507LO/giphy.gif
That’s me.do I qualify

2 Likes

:eek::eek::eek::eek:

@muria mboco kazi kwako

1 Like

Licensed to drive trailers, BCE haiwes

He he. I see

Leta hekaya bwana! :D:D:D:D

1 Like

Hapana …hio kampuni diesel unapimiwa kama cough syrup.
Wacha niuze simiti mimi

3 Likes

Hahahahaha I think muria mboco has a lot to say than me.

https://media.giphy.com/media/3oEjHCQXqfYKI507LO/giphy.gif

1 Like