Jana nilikatia kunguru kwa mat akanipea number. Leo nimedecide kucall weh!! Truecaller inaleta red inaniambia 71 people reported the number as spam. Wacha hiyo pussy ikae. :eek:
:D:D:D:D:D
Hooker sumbua
maybe she went all psycho on an EX and stalked his family, friends, neighbors, mama mboga and work mates
leta number tuchunguze why it all happened
Mimi nilipewa na mwengine kwa club. 267 spam reports. Niliangusha kama chuma moto. I later learnt anafanya platinum credit… ye inaonekana ni wale wa kuitisha loan.
Try something for yourself so that you can find out its shortcomings.
Kunguru detected
ni spam ju ni kunguru ya kuitisha mikwanja kila unpiga .wadau wanaiweka kama spam.chapa hio kitu kwanza then unachezea chini kama hippopotamus
sasa kama hii kunguru unaogopa na za kayole umefist zenye ukisearch kwa true caller inakuletea wanted by hesi wa dandora…
Wadau 71 wameshafeast na hao ndio wanajua kuweka msee kama spam kwa truecaller. So total bodycount imefika thao. Hiyo hata sio mat bro, ni SGR. Too much downside. Hiyo unless uvae condom ya chuma, otherwise unaingia jeshi instantly.
Epuka wewe.
Huyo ni hawker wa puthy
Jeshi la wokovu ama ?
ukiekwa carrot kwa mkundu na ikatiwe half ikiwa ndani utaacha kuomba tu shiny eye namba kwa matatu
jeshi la kisonono
:eek:Hadi mama mboga?:D:D:D
hata mama mboga huzima kiu wakati imezidi
Oh? Sikujua hiyo.