TRUMP YUPO VIZURI SANA KIUTENDAJI,,JAPO WATU WANAMCHUKIA ANGALIA ANAVYOPUNGUZA MAJOBLESS

[ATTACH=full]178183[/ATTACH]
[SIZE=6]US Unemployment Rate Falls to 18-Year Low[/SIZE]

Naamini hizo takwimu sio za maigizo kama zetu huku

ACHA ATUITE shithole tu

Hahah!! Ana haki kweli mana sisi tunapima samaki na rula sasa

Huwezi kuchukiwa na wote pia huwezi kupendwa na wote.

Rula zitaanza kupanda bei baada ya uhitaji kuongezeka.

Halafu mtaambiwa uchumi umekuwa hadi rula zimepotea mitaani

Uchumi wa rula nchi ya viwonder

Hahah!! Hakika mkuu mana sasa hivi itakua ni hitaji la kila mtu

Hahaha…nchi ya viwanda ya upimaji wa samaki kwa rula…

Kwa kuwa hata graph inayoonesha kukua kwa uchumi wa USA ilichorwa kwa rula, basi acha tupime uchumi wetu kwa rula. So, ili kupata uwiano sahihi tutapima kila kitu kwa kutumia rula, tutapima kwanza samaki, ng’ombe, mbuzi, kondoo nk. Alafu baadae tutaendelea kwa makundi mengine yote ili tupate takwimu sahihi na za kuaminika zaidi.

:D:D:D:D:D:D

Nasubiri kuona takwimu za huyu Mzee mwenye anamiliki Komwe…tehteehhh

Huyu wetu bajeti yake haitekelezeki,wamezuia bajeti mbadala ya upinzani kusomwa bungeni,sasa wamekuja na Swaga la kupima wabunge ukimwi ili kutusahaulisha.

Napenda sura ya Trampo akinuna

Ni kama Magufuli tu ; nabii hakubaliki kwao