Tuliza Mckende juu ya mawe.

tuliza Mckende

:D:D:D:D:D:D:D… mtu akikataliwa ajipe shughuli. Weuh jamaa ako na machungu.

Siku hizi ma-youngins mko na maneno. Nimeona kengine kakisema eti nikuwe inspired by wimbo wa kunyoa mafudhi…

mbona watu wakikataliwa huwa wanaanza kuitana sura mbaya

Shots fired, man down, man down, I repeat; man down! He is bleeding badly. Think we losing him. Requesting evac asap.

:D:D:D:D jamaa anapeana sweep kwa wimbo

Mzito nisaidie na full clip ya hii,nimependa sana hizo vocals