Tunaomba Jukwaa la Sheria!

Mada tajwa ya husika!
Tunaomba jukwaa hili!
Ili tujuzane mambo ya kisheria!
Ebu pitieni hii forum ya Kibongo mjifunze zaidi!
Mods:thanks in advance!
https://www.jamiiforums.com/

1 Like

Wabongo watatufunza nini kipya?

5 Likes

[ATTACH=full]86022[/ATTACH]

@xuma yapo mengi,ebu ingia humo ujionee

@Okwonko nishaketi

Dharau ni tatizo la wakenya
ndio maana Forum hii inaboa

Dharau ni tatizo la wakenya
ndio maana Forum hii inaboa

Hamna lolote wabongo. Kiswahili tu.

Wabongo tunawajua. Mna kitu inaitwa inferiority complex. Hiyo ndio taabu, hatuna dharau.

Hamna lolote wabongo. Kiswahili tu.

Wabongo tunawajua. Mna kitu inaitwa inferiority complex. Hiyo ndio taabu, hatuna dharau.

Wanaijeria hulaumu wakenya kwa madharau Misifa kuliko taifa lolote Africa,
Hampendi kupingwa Mnaona ninyi ndio kila kitu na chochote mfanyacho nisahihi!!
Mnachuki sana nyie watu,
inapelekea watu wanje ya kenya kushindwa kuendelea na Mijadala ktk forum zenu

Hatuna lolote!!
Mnawezaje kuibia Wasio na lolote Hadi Sukari ikiwa ninyi mnalolote!!
Mmeshindwa kujitosheleza kwa Chakula pekee mtaweza lipi!!
Wacheni dharau ninyi watu!!
Na si ajabu mtu kama wewe unaishi kwenye mabanda ya kibera
Kisha waropoka watanzania hawana lolote hahaha!!

hamna jina ya kiswahili ya forum???Ukikaa border ya kenya na Tz usijiite mtanzania tena.Ww ni mkenya

[ATTACH=full]101637[/ATTACH]

Du! hii kali

Inafaa tumuibe alafu tumpige branding ya bendera ya kenya na chuma moto. Tumalize hii maneno

Nimehusiana na watu wa nchi nyingi Africa na naweza Sema wakenya hatuna dharau kama mtu ana heshima na hana ujeuri. Hao wanaija unazungumza kuhusu labda ni wale watu loud mouth wa kutoka igbo ambao ni wakora na wanapenda wanawake wakenya sana.

Wabongo shida bado hujaeleza ni ipi? Mbona kila kitu ni mashidano na wakenya? Huwezi kuwa na mjadala na mbongo bila yeye kujaribu kusema wakenya oo wakenya aa…Kiongozi wenu Magufuli kila uchao ni kujaribu kutuweka chini. Hata uchaguzi wetu anaingilia kati.

Hii forum ni ya wakenya. Na jamii forum ni ya kwenu.

Nyie niwatu wakupuuzwa tu
Mtakuja kugombana na vivuli vyenu
maana hamkosi Chokochoko na Tanzania!!Magu aingilie uchaguzi wa kenya kwa lipi haswa!!
Tatizo mmejawa na Husda sana !
Tunajua sana kama hii ni forum ya wakenya
ndio maana wageni inakuwa ngumu kuchangia Mijadala ya forums zenu,
Hamna jipya humu zaidi ya Ukabila
mara Jaluo,Mara Kikuyu!!
haha yaani mnalaana si bure

Kama tungetaka forum kama jamii tungekuja huko Jamii. But THIS IS KENYA. You don’t come here to tell us how to do what we do. The last person who did that alikua muingereza. Enda kamuulize kuliendaje. From the onset, you came here trying to prove venye mnaeza tufunza. Kwenu ni Tanzania Vs Kenya kila kuchao. We can be objective, or we can be non-objective. So kabla uje utueleze Kuhusu kibera hapa, we jua hamna lolote la kutuambia.