Tuwekeeni hizo sababu 13 za jiwe kumuachisha kazi Mwigulu

Mtukufu ametaja sababu 13 za kumtoa Mwigulu. Kutumia jina feki haimo.

Sky, huu sasa ni utani wa ngumi kwa watu fulani:D:D:D

H

Haaaaa haaaa

Kwa kifupi wizara hii unaweza ukaongelea madudu yake siku nzima yasiishe , hata ukienda wizara ya fedha hii ndio wizara yenye madai yasiyo eleweka - JPM

@MagufuliJP - Ajali za Barabarani, Nimechoka kutuma rambirambi, na kinachonisikitisha hakuna hatua zinazochukuliwa,na zaidi nayetuma rambirambi ni mimi tu, waziri wa mambo ya ndani hatumi wala haendi kwenye tukio, anafanya mambo yake tu #MwananchiLeo

“Nimechoka kutuma salamu za rambirambi za ajali kila siku huku Waziri wa Mambo ya Ndani akiwa kimya wala haendi kuzika anazurura tu, Watu wanakufa kila siku, mnasubiri mpaka wafe wangapi ndipo mchukue hatua?” -Rais Magufuli
#MillardAyoUPDATES https://t.co/Z1baSRh75t

Kumbe Lameck alitegemewa afufue kesi ya Lugumi, aliyekuchoka hakosu kisa.

Jiwe lipo hivi wakati linategemea mlipigie kura 2020, Je mkilipitisha kuongoza 2020-2025 litakuwaje? Nimefuatilia hotuba yake ya kuapisha hao jamaa zake lililowateua. Duh, nashindwa kuchagua maneno ya kuelezea what I have observed

Jiwe litapita kwa nguvu ya dola si kwa kura.

Akufukuzae…

Na limejiandaaa hivyo…

Yote tisa , kumi ni waraka wa msajili kupimana mbavu na KKKT.

TimesRadioFm @TimesFMTZ 2m
"Vijana wakipewa majukumu wanaweza lakini akitaka kuharibu anaharibu kwelikweli. hii ndo sababu ya kuteua vijana katika nafasi
Serikalini, kwa bahati nzuri wengi niliowateua hawajaniangusha ukiondoa wachache. Naahidi kuendelea kuwateua kwaajili ya kufanya kazi Rais @MagufuliJP

Hili la madawa ya kulevya si alikabidhiwa the first born son aliyemuweka ndani Gwajima na baba alitamani kuwa IGP ili ile kwaya ya Gwajima ikionekana Central aiweke ndani

First born son hajamuangusha hata kuvunja ofisi za IMMA Adcocate na ku pyu pyu

Kasemaje?

Lameck badala ya kutuma rambirambi anakwenda kuserebuka manyimbo ya kwaya huko Kigoma

Cha Pombe wa Unguja alimind Mbaya!

Mheshimiwa inaelekea kulikuwa na kitu kimekasirisha sana. Nadhani wasaidizi itabidi washughulike na hili kuhakikisha kuwa Mkuu anakuwa kwenye good temperament kila wakati anapokuwa na public engagement.

Lakini kwenye magazeti tulisoma kuwa makamishna wanafanya kazi nzuri!