Twende tuvuruge ofisi ya Sauti Sol

Hawa watu wanataka kuhepa na 5k yangu and many other people’s money! Na wanaona tutasahau hivyo tu, haiwezi!

[MEDIA=instagram]CE8lm-SHRPK[/MEDIA]

Stone ahe chieth

Chocha za Willy Paul huwaga on another level! Hata kama wasanii wameibiwa, hivyo visu anatishia nani navyo, really!!?

so what bonobo

Reaction ya wale watu willi-pussi anatishia maisha
[ATTACH=full]343174[/ATTACH]