Uganda vs Senegal

Sadio Mane ashafanya mambo …

Niang through pass to mane, gooool

Unaona mbona Spendi ile club ya @Meria Mata , sasa anafkuza our brothers Ukanda forever

I wish kenya tunge cheza kama Ug. Atleast hii 1st half hawa wase wanacheza vipoa.

Niko nyuma ya M7

Uganda will score. Investors GG inakwom.

So happy morroco are out. Hawa nywele makamasi wakwende uko

Karibu wafungwe ya pili

Na hivi tu ndo vile cranes wanaenda home …uweskubaff heri ungenyamaza tu

Huyo refa amewashikilia na wakalimwa

Mganda amejipaka meffi … penalt to Senegal, though a very soft one. Sadio Mane

Swara, kwani umekosa kazi ya kufanya?

Sadio Mane hana bahati na ma pena kwa hii tonament

Mane,mane mane

Ref is super lenient there.
Hiyo jaluo iko very lucky!

Hii AFCON niliacha kuiangalia tulipotolewa hata final sitaangalia.

mtu anipee link ya livestream please

That’s a straight red on it’s own never mind the fact that he already had a yellow.

Keeper kanono amesave pena banae

http://www.sportwoop.com/Morocco-Benin-11ERIZ#rdblk

Mygoaltv.com