ugandan parliament

i need to see this video.nasikia tu stories.mwenye ako nayo tafasari niwekee hapa ama unipe link[ATTACH=full]128268[/ATTACH]

:smiley: :smiley: Bobby Wine anakaa kuwekelewa Mkono!

https://www.youtube.com/watch?v=zPZb7sCUMWs

:D:Dthis must be a very interesting video

santa mtu wa arsenali

:D:D
Could this be the reason why our very progressive neighbours have banned their local media from Uchambuzi (whatever this means) of any international news and music content between 5.00 am and 9.00 pm

Source: https://www.jamiiforums.com/threads/kuanzia-saa-11-alfajiri-hadi-saa-3-usiku-hakuna-kurusha-maudhui-ya-nje-ya-nchi-iwe-muziki-au-habari.1326624/

Heheeee

Tuko mbele hapa

:D:D:D huyo jama akana ka Tawalahi ka red ange stua anarusha ngumi…alafu teke ya left:D:D

alinyanyuliwa tackle from behind na kutolewa inje! gsu ya museveni haitambui waheshimiwa.

:D:D:D:D kicheko ina nimaliza hapa…what the hell!!ata hio parliament inaka base yangu ya muguka…roudy n shit

Brawlists or legislators?

Weuh!!Kuna Fala imetupiwa kiti imedaka.
Didn’t know Bobby wine aka the ghetto President ni mpig yeye ni sumbua…

mp wa UG ni cowards i think they eat matumbo.

nani ako na hiyo video ya Bobby wine akikimbizwa alafu akadandia nduthi?

Hata wewe tutafutie…

2 41 kuna mp ana rarua na flag
3 10 kuna festivity
bobi wine ni bure

Most former British colonies have similar parliaments.

Sio kurarua, wameshikania wawili, then in the next shot he waving it pekeyake…

Si vile. In the near future, we might witness the same in Kenya.