ujinga ni mjukuu wa uoga yule aliyemzaa chuki

#Gari mbovu halisukumwi kwa kukaa ndani yake.

cough cough puff’ puff’
Pass the Colombo!!

1 Like

@uwesmake kam kias.

mdomo mkubwa,chapati waikunjia nini?

Mavi ya kale, hai nuki.

kwani seminar ziliisha?

majaribu ya leo sio majibu ya kesho

Seminar hili jina tu… wewe zidi kuwa mkaa bure…

2 Likes

cha mwanafunzi huliwa na makanga…

3 Likes

Aisifiaye mvua ujue imemnyea

Jino moja mswaki wa nini?

2 Likes

Ukiomba mtu pesa alafu uone “typing” for more than two minutes just reply ushapata juu unatumiwa reply telling u vile yuko na problems mingi na hana pesa

Mkunwa Na mkunaji, msikia Raha ni nani ?

Kuna vile wote ni wakuni

Kufa kwa mkundu, mavi hutawanyika

Akipenda chongo huona kengeza.
“A person in love mistakes a pimple for a dimple”.

Maajabu ya shingo kukataa kulala.

Bibi mkuna nazi kuma yuwazi !

Sinzia na fegi mkononi,uchome kibanda.

Moto!