Ukiamua kuwa mzazi mengine inabidi uachane nayo

Huku kwetu Kwamtogole kuna binadamu wawili waliojaliwa kupata watoto. Binadamu hawa wanaishi kwa ndoa zetu hizi za mjini mradi vijijoleo vyenu vimegusana basi ndoa tayari.

Tusiwahukumu kwa hilo, lilikonifanya niandike hapa ni hili ka malezi ya watoto wao. Binadamu hawa hawapitwi na sherehe mjini hapa. Iwe ubatizo, maulidi, kipaimara, kumtoa mwari, kitchen party, send off, you name it.

Watoto hawa huachwa kila nyumba mradi tu wazazi wapate nafasi ya kufakamia bila na chakula cha bure. Wako radhi kubadili mabasi matatu mpaka Keko bwana akiwa amebeba wa kwake na bibi wa kwake. Na wakirudi Jumamosi au Jumapili walale kwanza mpaka pombe ziwatoke ndiyo wakachukue watoto wao.

Sasa huyu mtoto wa kiume ambae ana miaka saba sasa, juzi anamwabia mama yake kuwa shule hataki kheri atafutiwe bwana aolewe. Bibi yule chozi linamtoka hajui mwanae alianza lini kuingiliwa na wanaume wenzake.

Ulezi na starehe haviendi, chagua mmoja.

Malinda yapo lakini?

Tayari hapo huyo sio mwanaume tena ,siku hizi ulaya na America wanawaita Transgender ni advance qualification ya lesbian/Gay

Transgender si wanakuwa wamefanyiwa upasuaji wa kubadilisha jinsia?

Mpaka mtoto anataka kuolewa yatoke wapi?

[COLOR=rgb(184, 49, 47)]Usipokubali kuliwa kidogo huli… Wacha wasaidiwe malezi

Ndio anapoelekea huyo mtoto,only because hana hela ya surgery

Inasikitisha sana

Dunia imefika pabaya ,ni kuomba mungu sana katika hivi vizazi vya sasa

Kuna watu ambao hawakupaswa kuwa na watoto ila ndio hivyo wameshawapata.

Ni bora uwe na sura mbaya lkn uwe na akili.

Inasikitisha aisee!

Hivi mtu kama unaona unashindwa kujimudu kwanini unazaa?

inasikitisha sana!

Mamae Walimwengu wamewasaidia kuwalelea watoto wao. Tatizo watu wanakurupuka town.

Ona sasa mtoto mdogo washaanza kumpakua tope…#Wanaume tuna taabu sana tugegede mademu hadi wanaume wenzetu Duh!!

Eeeee Yesu wa Nazareti!!!

Yametimia

Mambo ya Kudamshi hayo!

Du!! Hakuna tena sumaku hapo

Hmm!.. Hatari kwelikweli…

Ubize wa wazazi kwenye kazi…umechangia kukosa muda wa kulea watoto…

Very very sad