1.Baby samahani dakika moja,wife anapiga simu
2.Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa
3 Bby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao
4…Baby sintaweza kuja Leo, wife kanibana… Pole kwa kuugua
5.Baby tangulia mbele, nitakukuta… Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia wife
6.Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona wife alitokea ghafa
7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Hamadi na kuagwa fasta.,baadae unaambiwa mke wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi
8.Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini… ,nilikua na mke wangu
Ili mwisho wa siku ukija kupewa mimba na kutelekezwa usije na kauli zako za kusema wanaume wote ni mbwa na kama utafikia hatua ya kuwaita wanaume wote hivyo basi anza na kumtaja baba yako ili twende sawa maana sometimes huwa mnakuwaga na ukulunjuma mwingi sana dadeq
Sawa
Wote muwage mnamilikiwa “mchepuko mwanamke” uwe mke wa mtu ndio inapendeza.
Duuuh wachambuzi wa mambo naona mnafanya uchambuzi wenu
Mke ni mke mtu
Kaka akee upo
Nipo nimejikuta niko nje ya nchi
Sawa jamani nafurahi kukuona
Asante dadake ila hata kunishtua hukuweza au ndio tunatorokana?
Kaka nakushtuaje jamani ila taarifa nilimpa tumosa nilimwambia awaambie na wengine
Sawa dadake niliwamisi sana maana nilijikuta niko giza lakukodisha
Nashukuru ujumbe ulifika
Asante sana kaka akee
Bila michepuko wanawake wanadharau sana waume zao.
nimetafuta mmoja mambo yanasogea.
Tatizo mizinga sasa
Asante dadake mi mgeni hapa natumia uzoefu wa mitandao tu
Ila naona wengi hawajui huku kuwa kupo
Ha ha haaa…siwezi utumwa huu…ninawivuu baraaa
haikwepekii iyo we pambana tu na hali yako
Michepuka mizuri sans. Ukiwakoleza dushe husikikizia sanaaaa!! Home sijui hujifanya kiu hawana!!
Hahhaha shunie
Abeeh
Kweli mke atabaki kuwa mke michepuko haina nafasi