UKIMWI MBAYA

Manze leo nimeingia club batis…it has been a long time. Nimeona dame nishawahi ona hapo tena akiwa momo, anatoshana na sindano…how do you survive @uwesmake :eek::eek::eek::oops:

may be she decided to cut weight. Kwani umepima yeye? Or even on chemotheraphy

:D:D some comments .

Nimeambiwa. I don’t guess shit. Quote “Huyo ni kamdudu ilimuweza” on quote.

siku hizi it is the other way round bro,ukiona kamtu kameanza kujazajza from nowhere kimbia,kuisha may be stress labda ameona stock imezeeka na hana bwana,nyumba ya kuretire to etc

I asked

I asked the same question to hiyo mnubi

@kelele tuu umeskia hii

huyo ndio utapatandio the healthiest in thar place…hao mamomu wengine wanakula matembe mbaya…hehe

Batis? Izi ni places watu huenda lakini?

dunia ya siku hizi kuna poko hukubali kukuliwa kavu???

ninaua nyoka apa torabora hivyo mtuliee…

The power of money.Kuna mwingine najua hupeana dryfry then akikuja hosi ananiambia forced sex but later came to know ukiwalipa vizuri wao hukubali bila Cd

You must be unique??And how are you replying to threads ama uko halftime??

No worries for you kama hukuwai Pitia hapo, woe unto them who did.

ndo nmemaliza, cheking outta clasfied lokrshen.

Hehe Ok.Pep ni free hospitali

Were ndio last born was kina @pamba ? Salimia kina pembe pimbi na pombo. waambie long time.

Hehe acha ufala ii asubuhi yote

You could have included this info somewhere in your post

Mkizoeana esp ukiwa customer wa kila siku.