Ukioa mwanamke mfupi jiandae kisaikolojia

Hawa watu wana wivu wa mwendokasi,wabishi,wagomvi,wasiojiamini,wenye maneno ya kejeli,ila kabla sijaweka nukta ni watamu na wanajua kupenda!
Ni kweli ama ni porojo tu?
[SIZE=2]Naomba mtumie kiswahili mkitoa maoni kwenye huu uzi. [/SIZE]

Hizi stereotypes

Dada hebu tumia kiswahili nkama Hilo neno silitambui.

ngoja hapo wanawake wafupi wanakuja kukuhudumia kwa muda usio kuwa mrefu

Stereotypu

Don’t call her dada. Huyo ni mama, hawara wa kijiji.

changia kwa kisweli kwenye mdahalo huu

Hizi stereotaipu

@Purr_27 kuja utueleze

mimi natafuta msichana Wa kibongo. hawa wa kenya hawapendi tigo.

Na pia wana unyevunyevu na wanapenda unyefnyef…

Na imagine tigo ni mobile network uko tz

[SIZE=16px]Jameni Mpenzi @Okwonkwo ! Mimi Nadhania Tigo ni mtandao Wa simu za rununu? Ebu tafsiri zaidi.[/SIZE]

Naunga mkono kichwa cha uzi huu…ni wabishi mno

mami are you kinda short???asking for @Mosa

njoo nikukule tigo utajua utamu wake.

mimi ndo kiboko yao

5"6,what do you think

Umenoa kaka. Ni wanaume wafupi ndio wana hiyo tabia. Huwa inaitwa “short man syndrome”

That’s the normal height for women in Kenya.