Ul-adha.

Mwarim ako fiti, tembea Kenya, huku ni wapi?[ATTACH=full]253644[/ATTACH][ATTACH=full]253646[/ATTACH][ATTACH=full]253648[/ATTACH]

naiposha?

Naivasha kwa visanga.

Huko mwalimu mwenzako gashui amesema.

Ile kulewa nimelewa hata nitakuwa nabbed hapa tu…choke!

[ATTACH=full]253698[/ATTACH]

Huku ni visanga tu…jana tumechoma nyama ya zebra inaonja fish bana.