ULEVI SACCO. MOI DAY EVE

Wacha nitoke lunch nishike jaba na naps.
[ATTACH=full]264328[/ATTACH][ATTACH=full]264329[/ATTACH]
Watu waweke stamp unakunywa nini na utakua wapi?

napoleon… no thank you…

Nakunywa Monster at a dingy location. Pombe niliondokea kiasi:D:D:D

[ATTACH=full]264354[/ATTACH][ATTACH=full]264355[/ATTACH]

Pombe niliachia walevi kama @uwesmake and other alcoholics. Nitakunywa December.

In an online forum full of strangers who dont know you, umeona utuhubirie vile hukunywi. No one gives a shit.

Hapa Guiness tu zinaflow.

Niaje brownskin KDF slayer.

Mbona umecatch na sijakutaja mahali. Is that your inner guilt talking because you feel guilt-tripped? :smiley:

Meffi

Why do you guys have such soft feminine hands??

Niaje pigmy hunter Mr Tariaitinah

Me hupenda kutroll wasee hubehave holier than thou hapa. Sijacatch, im the defender of Gamblers and Drunkards kwa hii forum.

Na kuhate on single moms na hiyo upuss ya Jubilee development. Online is never that personal

Niko chonjo nuguwaiguru

Hii mikono iko swambamba ya kuchunisha spinach…ama vipi uwesmakei

Kujijaza masukari tu,lakini uko na bibi tatu hapo nakuelewa

Ni wa kuchunishwo

Ii mkono bana ukiniwekea ngumi nitadhani ni mosquito imeniuma bana