Walevi waweke stamp wanakunywa Nini na uko wapi?
Kesho nitakuwa town nikikunywa keg pale keekorok road
[ATTACH=full]269136[/ATTACH]khupipi na tu niglets wako vekeshen ,kutuliza na yohana muchendani a.k.a mutembezi
kumbe wewe ni waiter?
[ATTACH=full]269139[/ATTACH]
shots fired
issokay
[ATTACH=full]269140[/ATTACH]
Niko kwa pigsty yangu ghaseer:D:D:D
@Old Monk
[ATTACH=full]269141[/ATTACH]
Mbona wewe huweki stamp.kazi ni kuuliza watu ndio uombe pombe
Utakuja Bavon? Nitakuwa hizo mitaa.
Nitakuwa base yangu ya local alafu niingie mtaani baadaye. Form ni Guinness na Vodka.
Niko locale najaribu ku-marinate kunguru na Gilbeys.
[ATTACH=full]269146[/ATTACH]
Yes
Utamix?
i want to try a new cocktail JB n Malenge
[ATTACH=full]269147[/ATTACH]
Hii fombe, its a replica of Napoleon
Ile hangover utapata my friend.
Nitaleta hekaya.
Halafu utombe poko moja ya modern green
Huwa noma