ULEVI SACCO

Watu waweke stamp wana kunywa nini na wako wapi?

Kaa kimya na legend yako boss. Sisi tunapepea

1 Like

Phombe sio maji, hebu cheki huyu
[ATTACH=full]68424[/ATTACH] [ATTACH=full]68425[/ATTACH]
When he sees this pics he will nefa trink again

14 Likes

[ATTACH=full]68428[/ATTACH]

2 Likes

hapa unaeza kosa kupigana kweli?

1 Like

Sema buda, hii kitu iko na mafollowers kadhaa Sikh hizi

Huyu si slum birrionare wa ruaka @Meria Mata

1 Like

Watu wa uthiru kujeni chicken haven, baadaye mugithi Texas

Mafans wa makali hawananga loyalty! Imetoa chrome top seat.

Noma sana[ATTACH=full]68434[/ATTACH]

8 Likes

Hii ni ya Ksh 650…peasants whiskey. Ni sawa tu yote mtakojoa

5 Likes

Leo niko somber,kuchill tu

Haha vile nilirudu zoezi nikua mpole

Ata wakikojoa, wanakojoa kama wamefurahi:):):slight_smile:
Wanawake munasumbua sana. Give peasants a break yawah!

1 Like

Umejuaje ni 650 kama we siyo member, kujidai na ukiwa dryspell offer yako hushuka 3 kwa mia

3 Likes

Kaka Niko, hii kitu iko chonjo mbaya

Nakunywa ndubia kwa matha. Tei baadaye.

niaje FP

Poa bilawaru

1 Like

Kaka,Naskia huu mvinyo uko na threshold mbaya ukiwai nyati.:D:D