@Uncle nyam

@uncle nyam niaje. Umepotea sana. Nimeku miss sana anko. Samaki amekarangwa kwa nyanya na biriganya. Talk to me.

Unicorn leo umechangamka sana. Sijai-kucheki uko ivi… uko juu ya starehe gani leo? Ama starehe gani iko juu yako?

Ana harvest waru huko kinangofu,ile vita tulipigana na yeye ilifanya heshima idumu,hata sasa nafikiria kumpatia my sister to seal the friendship

4 Likes

Hehehe nko poa niambie

nyama ya mbwa malizia mtu kiu ya miaka mingi.
her dryspell is getting too much

labda ni dryspell imemalizwa

@Unicorn, Leo kwanza nataka samaki awe wa mafuta. Akaangwe kisha tumle mpaka kichwa endelea kumkaanga naja kumla. lakini asiwe samaki huyu [ATTACH=full]11304[/ATTACH]

3 Likes

Leo nimeongezwa mshahara. I is very happy:D:D

Kukumisi tu anko. Samaki utamla pande zote nakwambia.

The moment umeona hii ushawekwa kwa friend zone asap

Kwani kuna shida watu wakiwa marafiki?

1 Like

http://img-comment-fun.9cache.com/media/fd912ec5141688202764732831_700wa_0.gif

2 Likes

I like your choice of words:D:D:D

hatakiwi akule mkia

Hehe good for you. Uko Wapi hata boat ntapanda nikujie stoney ndazi

Hebu muulize

Wakanyama mkia ni tamu

Mkia una nyama tamu sana. Hujawai enda pale city market unasikia jaruo iko na suti imesema “niletee mkia”

2 Likes

@uncle nyam niko tu hapa kwa kitchen naanda andaa samaki.

You should both get a room… Huh! Inbox

Sawa nakuja fasta!..