Unga wa Ugali Ya Serikali Selling at 90Bob

2Kgs retailing at 90/= I don’t know how true this is. @Nattydread @spear can you please confirm this.

[ATTACH=full]100115[/ATTACH]

Ok, thanks. As we celebrate kuna watu watalia coz another crisis is solved and some people need a reason to continue ranting.

Spear=ole itumbi

Natty dread=??

If it’s true naona, kamzee kakipigwa sweep na Jubilee.

kimzee flani kinakaa majuu kia Mbukiaz hakina form kando na kutroll na Trump na Baba

Fisked

Confirmed 2Kgs at 90/= over to you UOTP battalion.

[ATTACH=full]100117[/ATTACH] [ATTACH=full]100118[/ATTACH] [ATTACH=full]100119[/ATTACH]

Nilidhainia ni kajamaa flani jubilee

wacha niangalie suppa local kwanza

Great news, inafika 001 saa nga?

birrionaire izo hesabu umetandika hapo juu ya io kartasi ya unga ni za budget ya io unga? :D:D

business daily imeconfirm… fo once haujaweka Fake news. Congrats

http://www.businessdailyafrica.com/news/State-sets-price-of-maize-flour-at-Sh90-a-packet-in-subsidy-plan/539546-3928914-format-xhtml-vd8kbs/index.html

Hata sikuwa nimeona hizo hesabu.

Najua ulikuwa umetayarisha kunipiga masweep sio? ION naona Waluyha wote watakuwa jubilated juu ya hii story, ama vipi @Mundu Mulosi @pamba @uncle nyam @Ruffneck

nashangaa vile watu usema ni billionares vile wanangoja unga ya 90.sijataja mtu mimi

Hii si ni ilevya galana which was to last for 2 weeks only?

Unafikiria wamekuwa billionaires kivipi?

Wanaingoja wabadilishe makaratasi ili waendelee kukugonga.The rewards are too high to resist here.

You can be certain it won’t last a day. Hii ni Kenya.

i get it now