Habari wakuu
Nimefika salama katika safari yangu yakutokea JF hadi hapa Kenya talk ila usafiri ulinisumbua sana pia walinzi wa mipakani nao walinidokezea rushwa lakini niliwapiga Chenga kwakuwapa pesa bandia
Na vile vile nikawapoteza ninakoelekea hawawezi kunikuta maana sijaacha footprints
Hongera na karibu sana mkuu.
Ni mimi ndugu yako,
Mtoto wa soda
Nilianza safari 5 days ago lakini jana ndio nimefika sasa
Karibu mkuu,
Ulipitia wapi? siku 5 nyingi
Nashukuru sana ndugu yangu shangazi yako anakusalimia sana
Nashukuru ndugu, mwambie Shangazi salamu zimefika. Usisahau kumwambia mjomba JF imehamia Kenya.
Pole kwa uchovu wa safari. Ya ugenini ni shwari
Nilishampa taarifa kabla sijaanza safari yangu na yeye ndie aliniwekea vitu vyangu kwa ajili ya safari na akanitakia safari njema pia kazi njema kwa sehem yangu mpya ya kazi ila alisihi sana niwe makini zaidi ya kiwango
Shukrani sana mkuu
Karibu sana Mzee Baba
Mie kidogo nirudie njiani maana lile li “ROBOT” kila nikichagua picha lina zengua zengua
Lile linazingua sana