Ushawai shikwa na mharo ukiwa kwa PSV? Wueh

Kuna siku nilikua kanenge nikaona ni ingie sonford ya hizi streets… Nilimanga njiva na kuku. Weka firifiri ndani ghasia plus kashubari.

Nilimanga kama beast… Kuterumusha nayo as usual nika cold ice passion juice.

Msee ashatoka… Headed home. Ndani ya PSV…smiling while nadara tumboste vile nimeshiba Jo. Weuwe…in the middle of the trip naskia katumbo kanasema karadar… Nikajiuliza gani hizi tena? Kumbe nimechocha tumbo… Ikapiga warning ya first… Ina kamu. Nikashow tumbo pliz cheza chini… Blue ticks ndio nilipewa.

Najaribu to concentrate on other things ndio hii something iende but wapi.

Katikati ya journey believe it or not nilishuka… Mimi huyo kwa Bush. Mna uliza tena what happened?
[ATTACH=full]194230[/ATTACH]

@KaRadar= @Panyaste. Ghasia.

Alafu ukatumia socks ama ulislide kwa nyasi???

:D:D

In his own language, alirudi home Bila ngothaste

Hehe…Was in the same situation pale enterprise road some years back.Walked till Muthurwa.Ile kitu pekee inapea mwanaume commands na anaobey ni kuharisha.Yaani tumbo inakushow ndio ile bush kando ya main road kaharishe hapo na akili inabluetick conversation.

Food poisoning hapana macheso.

Hehehehehhe… Kuna mjamaa alikua na VX aki overlap pale enterprise road… Kushikwa akasema ali kua anaskia kuhara… Akaingizwa kwa grand tiger Aka ambiwa ahare kwa cell…

Si mimi :D:D

Kuhendesha is real nangoja version ya @Phylgee akidrive

:D:D:D:D:D:D

Zile ruracio za ocha walai… I don’t know how they cook… Tumbo hapana kitu ya kuchezea. Kuna siku my family and all my relatives waliharibikiwa…you can only imagine the aftermath. Hehe

Nilikua ingine Murang’a they lump your plate with Mokimo, carbage, chicken, mbuzi choma and home made mutura. Disaster

Umesahau kachumbari

Ile imekatwakatwa kama thaara. :smiley:

Na imejaa maji ya nyanya

umesahau mbosho pia

uncle nyam kuom kiasi.

Na Haina firifiri :frowning:

Ukitaka Rice pia unawekewa tu. :D:D