Usichezee hisia za mwanamke

Mwanamke UNAYEMCHEZEA leo hii, ndiye ATAKAYEOLEWA na mwanaume mwenzako kesho! Je, unajua mke utakayemuoa wewe anafanywa nini leo na mwanaume mwenzako? Maisha ni mzunguko. Don’t play with a woman’s feeling…

ukifikiria hayo huwezi oa…maana kuna watu wanavuruga kiasi kwamba huyo ajaye anakuwa na mtihani.

Yote ni mipango ya Allah

balaaaa

asante sana mkuu…

cc @Smart911

Hivi “kumchezea” maana yake nini? Mimi sielewi.

aah bishop sio makosa yetu ni viherehere vyao

Tatizo wanaume wabishi kuelewa

Kitu ambacho hupendi kufanyiwa basi usimfanyie mwenzako

Na wanawake pia wasichezee hisia za wanaume.

Tatizo binadamu ni wabishi sana…

Cc: @Mahondaw

Nikikumbuka nilivyochezewa hisia zangu…nikabaki na chuki kwa wanaume…

Ila akaja kwangu mume mwema…nimesahau yote…

Mkuu umeuliza sawali zuri sana, niko seat ya mbele nasubiri majibu kwa wanaojua

Vice versa is true also

Mtoa mada @Bishop Hiluka tunaomba majawabu.

Hizi akili zingine ni kama serengeti lite kila mezavya bar huikosi

Tunachezeana bana

akijibu unitag mkuu

nakazia hapo

dunia ni uwanja wa fujo

Mapenzi yanajumuisha pande zote mbili wanawake na wanaume wapo wanaume wema pia nao pia unawaambiaje??? Mtu ukishaona hali si hali ruksa kutoka na ushukuru tu umeweza kutambua vitu kabla haijawa too late na si riziki uliyopangiwa

Ulichezewaje @Doncute hebu tufafanulie maana mtoa mada tumemuuliza anakwepa kwepa.