Usiku psercco

Wekeni stamp mko wapi, mnafanya nini au mnatarajia kufanya nini leo usiku?

Niko tu apa DareSalam for a small assignment. Nimeboeka nataka kuomba mzito gari ni drive around kidogo. Can I legally use my Kenyan Driving licence huku?

i thought imeandikwa EAK hapo juu

I’m listening to some music as I relax after a hard days work.

Waariahe una assignment gani huko. Passed there sometimes last week and I hated the weather .Lakini Malaya na chakula wako poa.

Kweli man this weather is shit. Last night
Stima ilipotea fan ikazima and I nearly died in my sleep:D

issnot too early for this sakkoh?

Hiyo ni kutoka kitambo and It’s not like Tz government personally endorses your Kenyan driving licence. Sometimes you just let me down mwalimu.

i was fishing wanted akina @Meria Mata , @amun etc to come up and shed some light on the issue.

Taking a shower in the next…
Get into bed,
Conjugal rights,
Sleep blissfully…

All in that order and within the hour.

Niko kwa kitanda. Natarajia kulala. Good night talkers.

You have a small penice mathice

Enda Club Ambiance huko Sinza…ama ilifingwa kabisa?

Hizi mtumba zinatesa watu kweli
[ATTACH=full]158703[/ATTACH]
Sasa hii imeamua kuchemsha.

Wariah halewi niambie penye ntapata some nice weed

Drinking water from Ruaraka, watching the game.

Niko tao. Stima zilipotea kitongoji duni nikaona nikam tao kuona game.

Hii usiku pusako inakuwanga ujinga ya nini?

Nunua generator ata kama ni kale kadogo kameandikwa Tiger.

usijaribu upuss huko hawapendi wakenya na wasomali kitu kidogo tu megafool atakuweka ndani years