Halafu kuna hawa watu wameanza kiherehere ati hiyo tax ya mafuta ibadilishwe iwekwe kwa alcohol/cigarettes,my friends,kila mtu apambane na hali yake. Achaneni na bei ya pombe kabisa, hiyo pombe ndo inafanya tunasahau loan ya China na shida zetu. Pandisha soda!
Wewe kwanza pambana na hali yako
Tangu reli ifike Kisumu then known as bla bla bla.
Be original maafaker.
:meffi::meffi::meffi: