#9: Mtanzania Aliyepanda Mlima Kilimanjaro na kushuka ndani ya mda mfupi!
22 February 2017, Mtanzania Simon Mtuy alipanda na kushuka Mlima Kilimanjaro ndani ya masaa 9 na dakika 19. Cha ajabu zaidi, Mtanzania huyo alipanda bila msaada hivyo alikuwa peke yake na alipanda akiwa anaharisha na kutapika vibaya
TAZAMA VIDEO