Vidikteta uchwara vyaonywa

Je, ni onyo lwa ukweli au ni danganya toto ya hii Sirikali dhalimu?

http://www.mwananchi.co.tz/habari/Lugola-awaonya-ma-RC--DC-kuwaweka-ndani-wananchi-/1597578-4732866-9wcnlsz/index.html

Mkuu nchi ya v-wonder hii. Diteta mwenyewe ndiye aliyewaamuru mad na marc

Naam Mkuu ndiye yeye huyo huyo

Siju jiwe anajisikiaje sasa anapoona walio chini yake wanamtoa ujinga