wapi makofi ya Fala12. finally amekuwa village elder hata kabla ya talkers wengine wanapost ushenzi ili wapate likes… too bad fala ameumia haezi enda kunywa naps ya kucelebrate
[ATTACH=full]4619[/ATTACH]
wapi makofi ya Fala12. finally amekuwa village elder hata kabla ya talkers wengine wanapost ushenzi ili wapate likes… too bad fala ameumia haezi enda kunywa naps ya kucelebrate
[ATTACH=full]4619[/ATTACH]
Welcome to the exclusive club . Pole kwa maumivu.
Hapo pouwa, sasa nunua kitanda ya kulalia na blanketi fiti unatuangusha kama fellow village elders
Nani amepea hii fala cheo. Sisi kama elders tuna Anza mchango ya kukununulia fiatu uwache kukunyanga chupa
niko kenya mzae. hii picha ilipigwa mchana
asante sana doc nimepoa
fellow elder kanono inakaa unono inapotesa wewe macho. hio ni kiti bana na picha alipigwa mchana
mchango ikuje mbio mbio ili mguu ikipona fiatu fiwe fishanuniliwa
Fellow village elders? You are not yet there son. One more step, one only.
sa mnataka kutuambia mkiongezewa cheo kuna listings only u guys are privy to ama bado ni zile zile si huget…kwani mko class 2
kings and servants don’t dine on the same table. BOW DOWN AND KISS THE RING
hahaha bado hujahitimu miaka ya kuketi katika kikao cha wazee
Heshimu wazee kijana.
it has been a great battle
Tell them!
Mguu wa left ama right?
@Fala, hii mambo ya kukimbizana na nekesa Kwa miwa uwache. Mguu ya mkamba si ngumu kama ya watu wa huko bungoma.
Ama umejoin hii dini? [ATTACH=full]4635[/ATTACH]